![]() |
Wayne Rooney |
Nahodha wa Manchester united Wayne Rooney, atafanyiwa uchunguzi zaidi ili kujua ukubwa wa tatizo la goti lake.
Meneja Louis van Gaal, amesema, "atafanyiwa uchunguzi zaidi naimani jeraha sio kubwa hivyo ila tunasubiri majibu ya uchunguzi”.
Bosi huyo wa man united anaamini Rooney na Di maria hawawezi kuwa fiti kuweza kuwakabili Southampton,
United imekua ikiandamwa na majeruhi wengi tangu kuanza kwa msimu huu ambako nyota wake kadhaa bado wako bechi kwa majeruhi.
0 comments:
Post a Comment