![]() |
| Alexis Sanchez ameifungia Arsenal mabao 8 kwenye EPL msimu huu. |
Kwenye uwanja wa Emirates , Arsenal waliweza kushinda mchezo wao wa pili mfululizo baada ya kuwafunga Southampton 1-0 ukiwa ni ushindi wao wa pili mfululizo wakishinda kwa bao moja .
Bao hilo lililowapa Arsenal ushindi lilifungwa na Alexis Sanchez ukiwa ushindi wa kwanza kwa Arsenal dhidi ya timu iliyoko kwenye nafasi za tatu bora .
![]() |
| Mshambuliaji Didier Drogba akifunga bao la pili kwenye mchezo dhidi ya Tottenham. |
![]() |
| Edin Hazard akifunga bao la kwanza kwa chelsea. |
Matokeo haya yanamaanisha kuwa Chelsea wanaendelea kuongoza ligi wakiwa na pointi 33 wakiwa wamewazidi Man city kwa pointi sita , Southampton ambao leo hii wamepoteza mchezo wao wa pili mfululizo wamejikuta wakishuka zaidi huku tofauti yao na Man United inayoshika nafasi ya 4 ikiwa pointi moja pekee .




0 comments:
Post a Comment