• Rapper AKA wa South Africa Aeyafananisha mapokezi ya Diamond Dar na ya wasanii wakubwa kama Chris Broun na Justin Bieber

    AKA ni rapper maarufu kutoka Afrika Kusini ambae alishinda tuzo moja kwenye tuzo za Channel O 2014 hapa Johannesburg Afrika Kusini ambako Diamond alishinda tuzo tatu kwa mkupuo.

    Baada ya kuziona picha na video za jinsi Watanzania walivyompigia shangwe Diamond Platnumz kwenye mapokezi yake kuanzia Airport Dar es salaam, A.K.A ilibidi aandike haya maneno.

    Kaandika >>> ‘Diamond alirudi Tanzania baada ya ushindi wa tuzo tatu za Channel O, jaribu kufikiria watu wa South Afrika wangeguswa na Wasanii wao kama hivi, kwenye nchi yangu mapokezi kama haya ni kitu ambacho kimehifadhiwa kwa ajili ya kina Justin Bieber na Chris Brown…. hongera Diamond’

    Diamond lands back in Tanzania after winning 3 Channel O Awards and this happens … Imagine South Africans felt like this about their own artists … In my country this is something reserved for the Bieber’s and Breezy’s … Where is our pride? Where is our passion? Anyways … BIG UP DIAMOND’
    – AKA
    Ni ahadi yangu kukupatia kila stori inayonifikia mtu wangu, niko tayari kukutumia wakati wowote kupitia twitter instagram na facebook ukijiunga na mimi kwa kubonyeza >>>twitter Insta Facebook
  • 0 comments:

    Post a Comment

    GET A FREE QUOTE NOW

    Lorem ipsum dolor sit amet, consectetuer adipiscing elit, sed diam nonummy nibh euismod tincidunt ut laoreet dolore magna aliquam erat volutpat.