• ''Niliponea kifo mikononi mwa Al Shabaab'', Fahamu mkasa wote hapa


    Miongoni mwa watu waliowasili katika kuitambua miili ya jamaa zao katika chumba cha kitaifa cha kuhifadhia maiti Nairobi Jumatano alikuwa ni Douglas Ondari Ochodho.

    Yeye ni mwalimu wa shule ya upili huko Mandera. Aliponea shambulio la kwanza katika eneo hilo la Mandera wiki mbili zilizopita, ambapo watu takriban 28 waliuawa, miongoni mwao ni mkewe.

    Amezungumza na mwandishi wa BBC Maryam Abdallah kuhusu mkosi ulioikumba Safari hiyo.
    http://emp.bbc.co.uk/emp/embed/img/link.png
  • 0 comments:

    Post a Comment

    GET A FREE QUOTE NOW

    Lorem ipsum dolor sit amet, consectetuer adipiscing elit, sed diam nonummy nibh euismod tincidunt ut laoreet dolore magna aliquam erat volutpat.