• Taarifa nyingine kutoka Ikulu kuhusu Rais Kikwete leo


    Tulisikia kwamba baada ya kufanyiwa upasuaji Marekani, Rais Kikwete alipewa masharti kadhaa na madaktari waliomfanyia upasuaji juu ya utaratibu wa kufanya katika kipindi cha miezi mitatu, ambapo moja ya masharti aliyopewa ni kutofanya kazi ngumu.

    Katika ukurasa wa Facebook wa gazeti la Mwananchi, wamepost picha na story inayosomeka hivi; “..MAZOEZI: Rais Jakaya Kikwete akifanya mazoezi katika Viwanja vya Ikulu, Dar es Salaam, kutekeleza ushauri wa madaktari waliomtaka afanye hivyo mara tatu kwa siku ili kuimarisha afya yake, baada ya upasuaji mwezi uliopita nchini Marekani. Picha na Ikulu..


    Ni halali yako kupata kila stori inayonifikia mtu wangu, niko tayari kukutumia wakati wowote kupitia twitter instagram na facebook ukijiunga na mimi kwa kubonyeza
  • 0 comments:

    Post a Comment

    GET A FREE QUOTE NOW

    Lorem ipsum dolor sit amet, consectetuer adipiscing elit, sed diam nonummy nibh euismod tincidunt ut laoreet dolore magna aliquam erat volutpat.