Msemaji wa jeshi amesema kuwa mabomu yaliyokuwa yametegwa kwenye gari yalilenga kituo cha mafuta na jengo la usalama katika mji huo.
Hakuna aliyejitangaza kuhusika na shmbulizi hilo .
Libya imo katika hali ya mtafaruku kwa miaka minne sasa tangu kupinduliwa kwa aliyekuwa kiongozi wake Muammar Gaddafi huku kukiwa na serikali mbili na mabunge mawili ambayo yanapigania uongozi.
0 comments:
Post a Comment