• Baaeda ya kuikatria tamaa 4 bora Mourinho sasa arejesha matumaini

    Jose Mourinho
    Mkufunzi wa Chelsea Jose Mourinho anataka kutimiza ndoto yake kwa kumaliza miongoni mwa timu nne bora mwishoni mwa msimu huu.

    Mabingwa hao wa ligi ya Uingereza,wako katika nafasi ya 14 wakiwa pointi 14 nyuma ya timu inayoshikilia nafasi ya nne.
    ''Pengine tuna fursa ya kufanikisha ndoto hii kwa kumaliza katika nafasi ya nne,ijapokuwa inawezekana lazima tujaribu'',alisema Mourinho.

    Chelsea inaelekea kukabiliana na Leicester katika ligi kuu ya Uingereza.
    Mchezo m'baya wa kilabu ya Chelsea's msimu huu umezua maswali mengi miongoni mwa mashabiki wa klabu hiyo ,lakini Mourinho amesema ana hakika atasalia kuwa kocha Stamford Bridge.

  • GET A FREE QUOTE NOW

    Lorem ipsum dolor sit amet, consectetuer adipiscing elit, sed diam nonummy nibh euismod tincidunt ut laoreet dolore magna aliquam erat volutpat.