• Hali ya hatari yatangazwa nchini NIGERIA Kuhusu Boko Haramu

    Hali ya hatari yatangazwa nchini NIGERIA
    Hali taadhari imetangazwa kwa saa 24 Kaskazini mwa NIGERIA katika mji wa DAMATURU ikiwa ni siku moja baada ya wapiganaji wa kikundi cha BOKO HARAM kushambulia kituo cha polisi na chuo kikuu katika eneo hilo.

    Gavana wa jimbo la YOBE amesema hatua hiyo imechukuliwa ili kutoa nafasi kwa vikosi vya usalama kufanya kazi yake.


    Kundi hilo la BOKO HARAM linataka kuunda serikali yenye utawala wa kiislamu katika eneo la Kaskazini mwa NIGERIA.


    Katika mji wa MAIDUGURI na ule wa jirani wa BORNO wapiganaji wa BOKO HARAM walilipua soko na kuuwa watu SITINI wiki iliyopita.
  • 0 comments:

    Post a Comment

    GET A FREE QUOTE NOW

    Lorem ipsum dolor sit amet, consectetuer adipiscing elit, sed diam nonummy nibh euismod tincidunt ut laoreet dolore magna aliquam erat volutpat.