• Kenyatta:Kenya haitatikiswa na magaidi

    Rais Uhuru Kenyatta akiwahutubia wakenya
    Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya amesema kuwa Kenya haitachoka katika vita vyake dhidi ya ugaidi kufuatia shambulizi lililofanywa dhidi ya wachimba migodi mjini Mandera Kaskazini ya Kenya.

    Ametoa kauli hiyo katika hotuba yake kwa taifa baada ya shambulizi lengine lililofanywa na kundi la wanamgambo la Al Shabaab dhidi ya wakenya 36 wasiokuwa na hatia.

    Kundi hilo liliwaua wakenya wengine 28 waliokuwa wanasafiri kutoka mjini Mandera siku kumi zilizopita.
    Kenyatta amelaani wanamgambo hao wa Al Shabaab kwa kutaka kuigawanya Kenya katika msingi ya kidini.
  • 0 comments:

    Post a Comment

    GET A FREE QUOTE NOW

    Lorem ipsum dolor sit amet, consectetuer adipiscing elit, sed diam nonummy nibh euismod tincidunt ut laoreet dolore magna aliquam erat volutpat.