Meneja wa klabu ya Chelsea Jose Mourinho
amekisifia kikosi chake kwa kusema ndio kikosi bora kwa sasa kutokana na mwenendo mzuri
alionao na anaamini suala hilo litaendelea kuwapa
morari wachezaji wake kucheza kwa kujituma nakuuona kila mchezo kama fainali.
amekisifia kikosi chake kwa kusema ndio kikosi bora kwa sasa kutokana na mwenendo mzuri
alionao na anaamini suala hilo litaendelea kuwapa
morari wachezaji wake kucheza kwa kujituma nakuuona kila mchezo kama fainali.
Amesema mpaka sasa kikosi chake kinaongoza
msimamo wa ligi ya nchini England, pia kipokatika nafasi ya kwanza kwenye msimamo wa
kundi la saba la michuano ya ligi ya mabingwabarani Ulaya, na kingine anachojivunia ni kuwa
katika hatua ya robo fainali ya michuano yaCapital One Cup na kucheza kwa kipindi cha
miezi minne bila kufungwa hatua ambayoanaichukua kama sehemu kubwa ya mfanikio
aliyokua amejiwekea tangu mwanzoni mwamsimu huu.
msimamo wa ligi ya nchini England, pia kipokatika nafasi ya kwanza kwenye msimamo wa
kundi la saba la michuano ya ligi ya mabingwabarani Ulaya, na kingine anachojivunia ni kuwa
katika hatua ya robo fainali ya michuano yaCapital One Cup na kucheza kwa kipindi cha
miezi minne bila kufungwa hatua ambayoanaichukua kama sehemu kubwa ya mfanikio
aliyokua amejiwekea tangu mwanzoni mwamsimu huu.
Lakini meneja huyo kutoka nchini Ureno mesisitiza kuwa tayari kupokea matokeo yoyote ambayo yatapatikama tofauti na mafanikio aliyoyapata kwa kipindi hiki cha miezi minne tangu msimu wa soka wa barani Ulaya ulipoanza mwezi August mwaka huu.
0 comments:
Post a Comment