• SAFARI YA GERRARD KWENDA MAREKANI YAIVA..

    Steven Gerrard akishangilia baada ya kufunga goli katika ushindi wa Liverpool wa mabao 3-2 dhidi ya Tottenham jumanne iliyopita

    Steven Gerrard atakutana na mabosi wa LA Galaxy kwa mara ya kwanza wiki hii.


    Nahodha huyo wa Liverpool anayeondoka Anfield anakutana na mabos
    i hao ana kwa ana kuzungumzia suala lake la kujiunga na klabu hiyo ya Marekani mwezi julai mwaka huu.
  • 0 comments:

    Post a Comment

    GET A FREE QUOTE NOW

    Lorem ipsum dolor sit amet, consectetuer adipiscing elit, sed diam nonummy nibh euismod tincidunt ut laoreet dolore magna aliquam erat volutpat.