Steven Gerrard atakutana na mabosi wa LA Galaxy kwa mara ya kwanza wiki hii.
Nahodha huyo wa Liverpool anayeondoka Anfield anakutana na mabos
i hao ana kwa ana kuzungumzia suala lake la kujiunga na klabu hiyo ya Marekani mwezi julai mwaka huu.
Lorem ipsum dolor sit amet, consectetuer adipiscing elit, sed diam nonummy nibh euismod tincidunt ut laoreet dolore magna aliquam erat volutpat.
0 comments:
Post a Comment