Licha ya Bayern Munich kuonesha kandanda la hali ya juu kama walivyofanya walipoitandika Hamburg SV mabao 8-0 mwishoni wa juma lililopita, hawakuweza kufua dafu mbele ya wenyeji Shakhtar Donetsk na kadi nyekundu ya kiungo wa zamani wa Liverpool na Real Madrid haikuwa na madhara yoyote.
UNAJUA XABI ALONSO AMEFIKISHA MECHI NGAPI ZA UEFA?
Licha ya Bayern Munich kuonesha kandanda la hali ya juu kama walivyofanya walipoitandika Hamburg SV mabao 8-0 mwishoni wa juma lililopita, hawakuweza kufua dafu mbele ya wenyeji Shakhtar Donetsk na kadi nyekundu ya kiungo wa zamani wa Liverpool na Real Madrid haikuwa na madhara yoyote.
0 comments:
Post a Comment