• Van Gaal:Man U haina mshambuliaji mzuri

    ''Ni kweli'',alisema Van Gaal.

    ''Robin van Persie hawezi kukataa,Falcao naye hawezi kupinga na Rooney hachezi katika safu ya mashambulizi.

    MKufunzi huyo wa Old Trafford amekuwa akikosolewa kwa kumchezesha Wayne Rooney katika kiungo cha kati,huku Radamel Falcao akipewa fursa chache kwa madai kwamba hayuko shwari.

    Van Gaal alisema:''Kwa sasa hatuna mshambuliaji ambaye anaweza kufunga mabao 20''.
  • 0 comments:

    Post a Comment

    GET A FREE QUOTE NOW

    Lorem ipsum dolor sit amet, consectetuer adipiscing elit, sed diam nonummy nibh euismod tincidunt ut laoreet dolore magna aliquam erat volutpat.