• Beki matata Danilo atua Real Madrid

    Klabu ya Real Madrid imethibitisha kumsajili beki wa kulia wa klabu ya Porto Danilo Da Silva kwa ada ya euro milion 31.5 kwa mkataba wa miaka 6.

    Mbrazil huyo mwenye umri wa miaka 23 aliyekuwa akisakwa na klabu za Arsenal,Chelsea na Bayern atajiunga na mabingwa hao wa ulaya baada ya msimu huu kumalizika

    Beki huyo alijiunga na wababe hao wa ureno mwaka 2012 na msimu huu ameisaidia timu hiyo kufuzu hatua ya robo fainali kwenye michuano ya klabu bingwa Ulaya.

    Aidha Danilo alicheza mechi yake kwanza katika timu ya taifa ya Brazil mwaka 2011 na pia ameisaidia timu hiyo kuibuka na ushindi wa 1-0 katika mechi ya kirafiki waliyocheza dhidi ya Chile jumapili iliyopita.
  • 0 comments:

    Post a Comment

    GET A FREE QUOTE NOW

    Lorem ipsum dolor sit amet, consectetuer adipiscing elit, sed diam nonummy nibh euismod tincidunt ut laoreet dolore magna aliquam erat volutpat.