De Gea kwa muda mrefu ametajwa katika mipango ya usajili ya Real Madrid lakini kwa sasa Madrid wanaonekana kuthibitisha kile ambacho kimezungumzwa na vyombo vya habari barani ulaya .
Magazeti Uingereza hayajapitwa na hii story, yameandika kwamba Bodi ya Real Madrid imekaa na kujadili usajili wa kipa huyu ambapo imesemekana kuwa klabu hii inajiandaa kupeleka ofa ya kwanza kwa United na imejiandaa kupokea majibu ya hapana!
0 comments:
Post a Comment