Baadhi
ya Wachezaji wa Arsenal wakimpongeza Ozil baada ya kuwafungia bao
katika kipindi cha kwanza kilichomalizika 3-0, Liverpool wakiwa nyuma.
Kipindi cha pili dakika ya 76 Liverpool walifanikiwa kupata bao na kufanya 3-1 kwa mkwaju wa penati. Mpaka dakika 90 zinamalizika..Arsenal 4-1, Wafungaji ni Hector Bellerin 37, Mesut Özil 40, Alexis Sánchez 45, Olivier Giroud 90.
KIPINDI
cha kwanza kimemalizika Arsenal wanaongoza kwa bao 3-0 mpaka sasa bao
zikifungwa na Hector Bellerin dakika ya 37, Mesut Özil dakika ya 40 kwa
mpira wa Adhabu wa frii kiki. Bao la tatu lilifungwa na Alexis Sánchez
dakika za lala salama za kipindi cha kwanza dakika ya 45 na kwenda
mapumziko Arsenal wakiwa kifua mbele wakiongoza kwa bao 3-0.
Kipindi cha pili dakika ya 76 Liverpool walifanikiwa kupata bao na kufanya 3-1 kwa mkwaju wa penati. Mpaka dakika 90 zinamalizika..Arsenal 4-1, Wafungaji ni Hector Bellerin 37, Mesut Özil 40, Alexis Sánchez 45, Olivier Giroud 90.
KIPINDI
cha kwanza kimemalizika Arsenal wanaongoza kwa bao 3-0 mpaka sasa bao
zikifungwa na Hector Bellerin dakika ya 37, Mesut Özil dakika ya 40 kwa
mpira wa Adhabu wa frii kiki. Bao la tatu lilifungwa na Alexis Sánchez
dakika za lala salama za kipindi cha kwanza dakika ya 45 na kwenda
mapumziko Arsenal wakiwa kifua mbele wakiongoza kwa bao 3-0.
Chupuchupu Arsenal wapate bao..kipindi cha kwanza kupitia kwa RamseyArsenal: Ospina, Bellerin, Mertesacker, Koscielny, Monreal, Coquelin, Cazorla, Ramsey, Ozil, Alexis, Giroud.
Akiba: Macey, Gibbs, Gabriel, Flamini, Rosicky, Walcott, Welbeck
Liverpool: Mignolet, Can, Toure, Sakho, Allen, Lucas, Moreno, Henderson, Coutinho, Markovic, Sterling. Akiba: Jones, Johnson, Lovren, Sturridge, Manquillo, Borini, Brannagan.
LIGI KUU ENGLAND RATIBA/MATOKEO
Jumamosi Aprili 4 Arsenal 3 vs 1 Liverpool"
17:00 Everton vs Southampton
17:00 Leicester vs West Ham
17:00 Man United vs Aston Villa
17:00 Swansea vs Hull
17:00 West Brom vs QPR
19:30 Chelsea vs Stoke
0 comments:
Post a Comment