• FULL TIME: MANCHESTER UNITED 3 vs 1 ASTON VILLA, ANDER HERRERA AFANYA KWELI LEO, SOMA MATOKEO YA MECHI ZOTE HAPA

    Wayne Rooney aliifungia bao Man United dakika ya 79 kwa kufanya 2-0 akipata pasi kutoka kwa Angel Di Maria nao Aston Villa walipata kona na kupata bao kwa kufanya 2-1 katika dakika ya 80 kupitia kwa Christian Benteke.Ander Herrera Dakika ya 43 Aliipa bao na hapa akipongezwa na Carrick pamoja na Fellaini.Ander Herrera Dakika ya 43 mwishoni mwa kipindi cha kwanza kaifungia bao Man United na Mtanange kwenda mapumziko ya bao 1-0 dhidi ya Aston Villa.Rooney akiendesha!Mpaka mapumziko Mitanange mingine ilivyokuwa..
    RATIBA/MATOKEO
    Jumamosi Aprili 4
     

    Arsenal 4 vs 1 Liverpool FT
    Everton 1 vs 0 Southampton 
    Leicester 2 vs 1 West Ham
    Man United 3 vs 1 Aston Villa 
    Swansea 3 vs 1 Hull 
    West Brom 1 vs 3 QPR
  • 0 comments:

    Post a Comment

    GET A FREE QUOTE NOW

    Lorem ipsum dolor sit amet, consectetuer adipiscing elit, sed diam nonummy nibh euismod tincidunt ut laoreet dolore magna aliquam erat volutpat.