Daniel Sturridge huenda akachezeshwa baada ya kupona jeraha la kiuno naye Raheem Sterling amepona jeraha la kidole cha mguuni lakini Adam Lallana hajulikani iwapo atachezeshwa kutokana na Jeraha la kinena.
Mikel Arteta ,Alex Oxlaide Chamberlain,Mathieu Debuchy na Abou Diaby hawatachezeshwa licha ya kurudi katika mazoezi,lakini Jack Wilshere huenda akachezeshwa.
0 comments:
Post a Comment