D’Banj alikuwa Kampala hivi karibuni anasema anamuhishimu sana Jose Chameleone na anajua mchango wake katika muziki Africa. D’Banj anasema anamjua mshindi wa tuzo ya BET Eddy Kenzo ila hakujua anatoka Ugandan.
D’Banj alimtaja Bebe Cool kama baba wa muziki na kusema anamjua kabla yeye hajawa maarufu,wasani wengine waliotajwa ni pamoja na Radio na Weasel na kusema alifahamiana nao mwaka 2011.
