• D’Banj akubali mchango wa Jose Chameleone kwenye muziki,na wasanii hawa pia.

    sanii kutoka Nigeria D’Banj ameongelea mchango wa Jose Chameleone kwenye muziki Africa na kusema ni mtu mwenye ushawishi mkubwa.

    D’Banj alikuwa Kampala hivi karibuni anasema anamuhishimu sana Jose Chameleone na anajua mchango wake katika muziki Africa. D’Banj anasema anamjua mshindi wa tuzo ya BET Eddy Kenzo ila hakujua anatoka Ugandan.

    D’Banj alimtaja Bebe Cool kama baba wa muziki na kusema anamjua kabla yeye hajawa maarufu,wasani wengine waliotajwa ni pamoja na Radio na Weasel na kusema alifahamiana nao mwaka 2011.

  • GET A FREE QUOTE NOW

    Lorem ipsum dolor sit amet, consectetuer adipiscing elit, sed diam nonummy nibh euismod tincidunt ut laoreet dolore magna aliquam erat volutpat.