Jina lake ni Hamis Corleone Mwinjuma, kwenye stage ya muziki anafahamika kama Mwana FA… kaja na mdundo mwingine ambao umeachiwa leoleo… nakukaribisha kwenye link hii mtu wangu, unaweza kuisikiliza kwenye link ya Mkito
BOFYA HAPA KUSIKILIZA- Mwana FA- ‘Asanteni kwa Kuja’