Msanii kutoka Uingereza Craig David ameweka wazi kuwa anarudi kwenye muziki hivi karibuni na kwamba atafanya mixtape yake na Drake.
Craig anasema hajaanza kurekodi muziki bado ila maongezi na rapa huyu yanaendelea vizuri.
Lorem ipsum dolor sit amet, consectetuer adipiscing elit, sed diam nonummy nibh euismod tincidunt ut laoreet dolore magna aliquam erat volutpat.